Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. George Masaju akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Kikao kazi cha Menejimenti, Viongozi wa Mikoa na Wilaya wa Taasisi zinazounda Utatu kilichofanyika tarehe 19 Agosti, 2025 Jijini Dodoma.
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. George Masaju akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Kikao kazi cha Menejimenti, Viongozi wa Mikoa na Wilaya wa Taasisi zinazounda Utatu kilichofanyika tarehe 19 Agosti, 2025 Jijini Dodoma.
Magari mapya ya Ofisi ya Taifa ya Mashtaka yaliyokabidhiwa na Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro kwa ajili ya kwenda kutumika kwenye ofisi za Wilaya.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro akikata utepe kuashiria makabidhiano ya magari mapya ya Ofisi ya Taifa ya Mashtaka.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro akiwa katika picha ya pamoja na Watumishi walioshiriki kwenye Hafla ya Makabidhiano ya magari ya Ofisi ya Taifa ya Mashtaka kwa ofisi za Wilaya iliyofanyika tarehe 15 Julai, 2025 Jijini Dodoma.
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Mafunzo elekezi ya awali kwa Waajiriwa Wapya wa Ofisi yaTaifa ya Mashtaka yanayofanyika tarehe 01 hadi 04 Julai, 2025 Mkoani Iringa.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akisikiliza kwa umakini maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Msaidizi Bw. Renatus Mkude juu ya majukumu na huduma mbalimbali zinazotolewa na Ofisi ya Taifa ya Mashtaka wakati alipotembelea katika banda hilo tarehe 26 Juni, 2025 Jijini Dodoma.
Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka Bi. Bibiana Kileo akiwa na Watumishi wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka mara baada ya kushiriki kwenye Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya yaliyofanyika tarehe 26 Juni, 2025 Jijini Dodoma.
Wanachama wa Chama cha Akiba na Mikopo cha Ofisi ya Taifa ya Mashtaka (MASHTAKA SACCOSS) wakiwa katika picha ya pamoja mara baada kushiriki kwenye Jukwaa ka Maendeleo ya Ushirika Mkoa wa Dodoma lililofanyika katika ukumbi wa Chimwaga.
Watumishi wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka wakiwa katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (MeiMosi) ambapo Kitaifa imeadhimishwa tarehe 01 Mei, 2025 kwenye viwanja vya Bombadia Mkoani Singida.